Arusha Forum
Headlines News :

ad300x250

Total Pageviews

Ads 468x60px

Featured Posts

Footer Widget 1

Footer Widget 2

Social Icons

Latest Post

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YATANGAZWA LEO

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Monday, February 18, 2013 | 9:18 AM



 
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (MB) leo ametangaza rasmi matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Nne, maarifa na QT.

Jumla ya watahiniwa waliofaulu kwa Mujibu wa Matokeo hayo ni 23520 kuanzia daraja la I hadi la IV huku katika mchakato huo wasichana waliofaulu katika mchakato huo ni 7178 na wavulana ni 16342.Aidha Waziri Kawambwa amesema kuwa waliofaulu kwa daraja la kwanza ni 1641, daraja la pili ni 6495 na daraja la tatu ni 15426 na walio feli ni 24903.
 
Shule bora ni pamoja na St. Francis Girl ya Mbeya, Marian Boys ya Bagamoyo, Feza Boys Dar es Salaam, Marian Girls Bagamoyo na Simini,hizo ndizo zilizopo kwenye tano bora huku shule nyingine ni Kanosa, Jude, St. Mary.

WATU WATATU WASHIKILIWA NA POLISI KUFUATIA MAUAJI YA PADRI EVARIST MUSHI-ZANZIBAR


 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Arusha Forum - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger