MSIBA WA BABU SAMBEKE WAZUA GUMZO…. - Arusha Forum
Headlines News :
Home » » MSIBA WA BABU SAMBEKE WAZUA GUMZO….

MSIBA WA BABU SAMBEKE WAZUA GUMZO….

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Wednesday, April 17, 2013 | 7:55 PM

Jamal Sambeke mtoto wa marehemu akifunga jeneza la baba yake mara baada ya watu mbalimbali
 kutoa heshima zao za mwisho nyumbani kwake njiro Themi Mkoani Arusha

Watoto wa marehemu Sia na Getrude waliovalia nguo nyeupe


Jamal akifunga jeneza la marehemu Babu Sambeke


Baadhi ya waombolezaji wakitoa heshima za mwisho

Mkurugenzi wa Kibo Palace Vicent Laswai akizungumza katika msiba huo
               Mheshimiwa Jaji Aisha Nyerere na Mkurugenzi wa Kibo Palace Vicent Laswai wakiwa katika hali ya                                   huzuni katika msiba huo.

DSCF8840
                  Ndg Raymond Kishumbua na baadhi ya wafanyabiashara wakiwa wamebeba jeneza katika safari ya                      mwisho ya Babu Sambeke.


Mmoja wa wafanya biashara ya madini Ndg. Mula akiwa anatafakari jambo katika msiba huo.
         Baadhi ya Waombolezaji akiwemo Mke wa Mbunge wa zamani Mh. Felix Mrema mwenye miwani na                         Mh. Jaji Aisha Nyerere na baadhi ya Ndg ya Marehemu.
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Arusha Forum - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger