April 2013 - Arusha Forum
Headlines News :

Mkutano wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki unaofanyika jijini Arusha.

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Sunday, April 28, 2013 | 11:15 AM


11th Extraordinary EAC Summit.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais wa Kenya Mhe Uhuru Kenyatta katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro wakati alipowasili

11th Extraordinary EAC Summit.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Mkewe Margareth Kenyatta wakifurahia ngoma za utamaduni katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro

11th Extraordinary EAC Summit.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya na Mkewe Margareth Kenyatta wakifurahia ngoma za utamaduni katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro

11th Extraordinary EAC Summit.

Marais wa jumuiya ya Afrika Mashariki wakisimama kwa dakika moja kumkumbuka laiyekuwa Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kutoka Uganda Marehemu Eriya Kategaya wakati wa ufunguzi wa kikao cha kumi na moja cha Jumuiya hiyo jijini Arusha . Katika Hoteli ya Ngurdoto.Kutoka kushoto Rais Wa Burundu Pierre Nkurunzinza,Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda,Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Wa Kenya Uhuru Kenyatta.

11th Extraordinary EAC Summit.

Marais wa jumuiya ya Afrika Mashariki wakisimama kwa dakika moja kumkumbuka laiyekuwa Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kutoka Uganda Marehemu Eriya Kategaya wakati wa ufunguzi wa kikao cha kumi na moja cha Jumuiya hiyo jijini Arusha

11th Extraordinary EAC Summit.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya

11th Extraordinary EAC Summit.

Marais wa jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa kwenye kikao cha kumi na moja cha Jumuiya hiyo jijini Arusha

11th Extraordinary EAC Summit

Baadhi wa Wajumbe walioshiriki ufunguzi wa kikao cha Juu cha kumi na moja cha Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki(11th Extraordinary EAC Summit)

Lema atiwa mbaroni kwa uchochezi baada ya kutoroka eneo la tukio

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Friday, April 26, 2013 | 8:21 PM

“Kuna taratibu za kumwita mbunge polisi, wanaweza kunipigia simu au kuwasiliana na Spika, lakini siyo kutumia utaratibu huu wa kutangaza kwenye vyombo vya habari kuwa mimi natakiwa kukamatwa wakati najua sina kosa,”alisema Lema.

Polisi wanena

Kamanda wa polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas jana, alikiri maofisa wa jeshi hilo kumkamata mbunge huyo juzi usiku na hadi jana mchana alikuwa bado yupo rumande.

“Ni kweli tupo naye hapa polisi, anasubiri kuhojiwa kutokana na tuhuma za uchochezi katika Chuo cha Uhasibu Arusha,”alisema Kamanda Sabas. Alisema uamuzi wa kuendelea kumshikilia au kumwachia, utatolewa baada ya kukamilika mahojiano.

Mapema wakili wa Lema, Hamphrey Mtui akizungumza na Mwananchi nje ya kituo kikuu cha polisi, alisema bado alikuwa hajaruhusiwa kuonana na mteja wake .

“Bado tunasubiri polisi wamtoe na wakati wa kuchukua maelezo yake ndiyo wameniambia wataniita,” alisema Mtui. Baadaye Lema alihojiwa lakini alikataliwa kupewa dhamana.

Taarifa za kukamatwa kwa Lema zilianza kusambaa juzi saa sita kasorobo usiku na ilipofika jana asubuhi tayari tukio hilo lilikuwa limeishateka mijadala ya mitandao ya kijamii.

Mijadala hiyo iliambatana na mkanda wa Video wa Lema wakati akizungumza na wananafunzi wa IAA.

IN PICTURES: Manhunt for Boston blast suspect

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Sunday, April 21, 2013 | 7:13 AM

Police walk down School and Walnut Street on April 19, 2013 in Watertown, Massachusetts. Earlier, a Massachusetts Institute of Technology campus police officer was shot and killed at the school's campus in Cambridge. A short time later, police reported exchanging gunfire with alleged carjackers in Watertown, a city near Cambridge. According to reports, one suspect has been killed during a car chase and the police are seeking another - believed to be the same person (known as Suspect Two) wanted in connection with the deadly bombing at the Boston Marathon earlier this week. Police have confirmed that the dead assailant is Suspect One from the recently released marathon bombing photographs. Photo/Darren McCollester/Getty Images/AFP This undated image released by the FBI shows Marathon bombing suspect Dzhokhar Tsarnaev, who is the subject of an April 19, 2013 manhunt in the Boston area. One of the Boston marathon bombing suspects was killed in a shootout early April 19 as police raced on a house-to-house search for Tsarnaev, with the entire city placed on lockdown. The two men believed to be responsible for Monday's deadly carnage at the finish line of the prestigious race are reportedly brothers of Chechen origin who were permanent legal residents of the United States. AFP PHOTO / FBI SWAT team members search for one remaining suspect at a residential building on April 19, 2013 in Watertown, Massachusetts. Photo/Mario Tama/Getty Images/AFP
Residents take pictures as they watch from windows while SWAT team members search for one remaining suspect at a neighboring apartment building on April 19, 2013 in Watertown, Massachusetts. Photo/Mario Tama/Getty Images/AFP SWAT team members prepare to search for one remaining suspect at an apartment building on April 19, 2013 in Watertown, Massachusetts. Photo/Mario Tama/Getty Images/AFP An elderly woman is evacuated from the School and Walnut streets area as police prepare to conduct a massive search for the one remaining suspect on April 19, 2013 in Watertown, Massachusetts. Photo/Darren McCollester/Getty Images/AFP Residents of an apartment building watch as members of the FBI, State Police, Boston Police, Cambridge Police, and other law enforcement agencies, survey the perimeter on April 19, 2013 near the home of suspect #2 on Norfolk Street in Cambridge, Massachusetts. Photo/Jared Wickerham/Getty Images/AFP Massachusetts Governor Deval Patrick (at microphone) with Boston Police Commissioner Ed Davis (L) speaks to the media at a shopping mall on the perimeter of a locked down area as a search for the second of two suspects wanted in the Boston Marathon bombings takes place April 19, 2013 in Watertown, Massachusetts. AFP PHOTO/Stan HONDA
Residents of an apartment building watch as members of the FBI, State Police, Boston Police, Cambridge Police, and other law enforcement agencies, survey the perimeter on April 19, 2013 near the home of suspect #2 on Norfolk Street in Cambridge, Massachusetts. Photo/Jared Wickerham/Getty Images/AFP
A woman reacts while being questioned by the FBI and other law enforcement agencies on April 19, 2013 near the home of suspect #2 on Norfolk Street in Cambridge, Massachusetts. Photo/Jared Wickerham/Getty Images/AFP
 A Massachusetts State Police officer checks the bag of a cyclist during heightened security on April 19, 2013 in Watertown, Massachusetts. Photo/Mario Tama/Getty Images/AFP

Deadly earthquake hits south-west China

More than 100 killed and thousands of homes damaged in 6.6-magnitude quake near Ya'an, Sichuan  province

China: Rescuers save an injured woman in Baosheng township
Rescuers help an injured woman in Baosheng township, Lushan county

China: Chinese Premier Li Keqiang

China's premier, Li Keqiang, shakes hands with a rescuer as he visits a site damaged by the earthquake
An aerial view shows houses damaged in the quake

China earthquake: rescue workers in Qingren, Lushan County. Landslides have left large rocks and mud on roads
 China: A rescuer carries a child to safety afte
 At least 156 people are dead and more than 5,500 injured after a powerful earthquake rocked Sichuan, in south-west China, on Saturday morning, officials said. The 6.6-magnitude shock is believed to have been on the same fault as the devastating quake that left 70,000 dead and another 18,000 missing in the province five years ago. It struck close to Ya'an, a city of 1.5 million people west of the provincial capital, Chengdu, at about 8am local time.

 At least 156 people are dead and more than 5,500 injured after a powerful earthquake rocked Sichuan, in south-west China, on Saturday morning, officials said.
The 6.6-magnitude shock is believed to have been on the same fault as the devastating quake that left 70,000 dead and another 18,000 missing in the province five years ago. It struck close to Ya'an, a city of 1.5 million people west of the provincial capital, Chengdu, at about 8am local time.

The China Earthquake Administration said at least 156 people had died. The government of Ya'an said more than 5,500 people were injured, 330 of them seriously.

Officials said almost all the buildings in Longmen village collapsed during the minute-long tremor. "It was such a big quake that everyone was scared," a woman who answered a phone at a nursery told the Associated Press. "We all fled for our lives."

Nearly 10,000 houses throughout Lushan county were damaged. In some areas, roads were cut off, power failed and telecoms service was intermittent.

Rescuers used dynamite to clear boulders that had fallen across roads in order to reach Longmen and other damaged areas lying farther up the mountain valleys, state media reported.

More than 6,000 soldiers have been dispatched to aid rescue efforts in the mountainous area. China's president, Xi Jinping, and the premier, Li Keqiang, called an emergency meeting to co-ordinate the response and Li has flown to the disaster zone to supervise work, the official broadcaster reported.

Initial reports suggested the worst damage was in rural villages around Ya'an, which lies on the edge of the Tibetan plateau. The state news agency Xinhua reported major building collapses and damaged roads in Shuangshi and Longmen townships.

Footage on China Central Television showed a makeshift triage centre in a square outside Lushan county hospital where medical personnel bandaged bleeding victims.

A man who answered the phone at the Jiajia Hotel in Ya'an said many houses had collapsed and many people were injured.

Another man living nearby said officials and company bosses had evacuated everyone to outdoor spaces. "It is very chaotic everywhere and people have no idea what we can do," he said. "We were the frontline of [the May 2008] earthquake, so in most companies, departments or organisations there are emergency resources, but we need more. Hopefully we can get over it soon, and it won't be as bad as last time."

Lushan, where the quake struck, lies where the fertile Sichuan plain meets foothills that eventually rise to the Tibetan plateau, and sits atop the Longmenshan fault. It was along that faultline that a devastating magnitude-7.9 quake struck on 12 May 2008, leaving more than 90,000 people dead or missing and presumed dead. It was one of the worst natural disasters to strike China in recent decades.

"It was just like May 12," Liu Xi, a writer in Ya'an who was jolted awake by Saturday's quake, said via a private message on Weibo, a Twitter-like service. "All the home decorations fell at once, and the old house cracked."

Chinese seismologists recorded the quake at magnitude 7, while the US Geological Survey recorded it at magnitude 6.6 at a depth of 12km.

Residents in Chengdu and Chongqing, hundreds of miles away, fled their buildings as they felt the tremor and repeated aftershocks. Chengdu airport was briefly closed to air traffic and railway officials halted 82 trains, China Daily reported.

JESHI LA POLISI ARUSHA LAPOKEA RADIO 16 TOKA KWA EMAGS ENTERTAINMENTS

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Thursday, April 18, 2013 | 11:03 AM



https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?ui=2&ik=9aaa785771&view=att&th=13e1dda12500b530&attid=0.2&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P9nc06gubqG_9TDkvcs6-Nb&sadet=1366307920824&sads=fQUtziigef9_yGOX6pzaxDdPAPg
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Emags Video Entertainments Bw. Elias Magesa akiongea na waandishi wa habari (Hawapo pichani) huku pembeni yake ni Kaimu Kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ibrahim Kilongo akimsikiliza wakati  kampuni hiyo ikikabidhi radio 16 za mkononi kwa Jeshi la polisi Mkoani Arusha ( Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha)

Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha

Jeshi la Polisi mkoani hapa jana limepokea radio za mkononi 16 ambazo zilitolewa na Kampuni ya Emags Video Entertainments iliyopo jijini hapa. Akitoa radio hizo, Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Elias Magesa alisema kwamba, wameamua kutoa radio hizo ili ziweze kurahisisha mawasiliano ndani ya jeshi hilo.

Bwana Magesa alisema radio hizo zenye thamani ya Tsh 2.6 Mil. zitaweza kulisaidia jeshi hilo kuimarisha ulinzi katika shughuli zake za kila siku. Alisema kupitia mawasiliano kutawezesha askari kuwasiliana na hatimaye kufanikisha kuimarisha ulinzi katika maeneo mbalimbali ya mkoa huu.

“Suala la Ulinzi si la jeshi la Polisi pekee bali ni la watu wote ndio maana kwa kutambua hilo Kampuni yetu ya EMAGS Video Entertainments imeaua kutoa radio hizo kwa jeshi hilo kwani kwa kufanya hivyo naona tutakuwa tumeshiriki kwa namna moja au nyingine katika dhana ya ulinzi shirikishi”. Alifafanua Bw. Magesa.

Kwa upande wake Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ibrahimu Kilongo akipokea radio hizo kwa niaba ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini alitoa shukrani zake kwa kampuni hiyo na kuongeza kwamba, amefarijika sana na moyo ulioonyeshwa na Bw. Elias Magesa pamoja na kampuni yake kwani si wote wanaoweza kufanya hivyo.

“Kutoa ni moyo si lazima uwe na kitu kikubwa sana ndipo utoe unaweza kuwa na chochote na ukatoa kama kampuni hii ilivyofanya. “ Alisema Kaimu Kamanda huyo. 

Alisema radio hizo zimepatikana muda muafaka kwani bado kuna changamoto ya upungufu wa vitendea kazi na kuongeza kwamba zitasaidia sana katika kuimarisha hali ya usalama kwani zitakuwa zinatumika na askari wa jeshi hilo katika doria na maeneo mbalimbali hali ambayo itasaidia kuimarisha mawasiliano.

Kaimu Kamanda Kilongo alitoa wito kwa wadau wengine wa mkoa huu kuiga mfano wa Kampuni hiyo kwa kujitokeza kuchangia vitendea kazi vitakavyosaidia kurahisisha utendaji ndani ya jeshi hilo. 

Naye Afisa Uhusiano wa Kampuni hiyo Bw. Severinus Mwijage alisema pamoja na kujishughulisha na utengenezaji wa filamu lakini pia wameona wawe karibu na Jamii ambao ni wadau wao wakubwa kwa kutoa radio hizo ambazo zitasaidia mawasiliano ya ndani ya jeshi la polisi na hatimaye kuimarisha ulinzi katika maeneo ya wananchi hao.

MSIBA WA BABU SAMBEKE WAZUA GUMZO….

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Wednesday, April 17, 2013 | 7:55 PM

Jamal Sambeke mtoto wa marehemu akifunga jeneza la baba yake mara baada ya watu mbalimbali
 kutoa heshima zao za mwisho nyumbani kwake njiro Themi Mkoani Arusha

Watoto wa marehemu Sia na Getrude waliovalia nguo nyeupe


Jamal akifunga jeneza la marehemu Babu Sambeke


Baadhi ya waombolezaji wakitoa heshima za mwisho

Mkurugenzi wa Kibo Palace Vicent Laswai akizungumza katika msiba huo
               Mheshimiwa Jaji Aisha Nyerere na Mkurugenzi wa Kibo Palace Vicent Laswai wakiwa katika hali ya                                   huzuni katika msiba huo.

DSCF8840
                  Ndg Raymond Kishumbua na baadhi ya wafanyabiashara wakiwa wamebeba jeneza katika safari ya                      mwisho ya Babu Sambeke.


Mmoja wa wafanya biashara ya madini Ndg. Mula akiwa anatafakari jambo katika msiba huo.
         Baadhi ya Waombolezaji akiwemo Mke wa Mbunge wa zamani Mh. Felix Mrema mwenye miwani na                         Mh. Jaji Aisha Nyerere na baadhi ya Ndg ya Marehemu.

LEO KATIKA BUNGE -Aprili 16,2013

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Tuesday, April 16, 2013 | 3:13 PM


Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwaasa Waheshimiwa Wabunge kutumia Lugha ya Kistaarabu kuchangia mijadala Bungeni.
Mbunge wa Mwibara Mhe. Kangi Lugola, akiomba Mwongozo kwa Spika Bungeni

Mhe. Catherine Magige, Mbunge wa Viti Maalum (CCM) akichangia Mjadala leo

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na teknolojia Mhe. January Makamba akijibu baadhi ya hoja zilizochangiwa Bungeni leo.
Copyright: Arusha Forum Blog

RIDHIWAN KIKWETE ATANGAZA ORODHA YA WAJUMBE TISA

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Monday, April 15, 2013 | 11:12 AM



 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiYdeAd02xYclKuPP13oQmSEur9fGr6M2tSpmU0zjXZ0MQ4cUmyrE5M6_y6evW1fSkBGTlaRJO5qFV546apGjmqxLIXwc8uf1OnZlpRtqm9wrfNStoT2vkdaX12GHJkdp8le-y3E99m8dcV/s1600/dd34ba7dd1L.jpg

Mwenyekiti wa kamati hiyo Ridhiwan Kikwete ambaye ametangaza leo orodha ya wajumbe tisa atakaosaidiana nao katika kuhakikisha wanajenga jengo hilo lililopo mtaa wa Mafia na Nyamwezi wakiwemo NAIBU Waziri wa Miundo Mbinu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Issa Haji Usi na Jaji 

Mstaafu Jaji John Mkwawa watakao ongoza kamati ya ujenzi wa jengo la Yanga lililopo mtaa wa Mafia.

Kikwete Jr.alisema kuwa Naibu Waziri huyo wa Zanzibar ndio atakayekuwa Makamu mwenyekiti wa kamati hiyo akisaidiana na Jaji John Mkwawa.

Alisema wajumbe wengine ni Baraka Ingangula ambaye ni mtaalamu wa majengo na kwamba atasaidia kuwapa mchoro wa kujenga jengo la kisasa lenye hadhi na imara.

"Inabidi tutafute mtu ambaye atatusaidia katika usanifu wa jengo tukalojenga hatuwezi kujijengea tu siku mbili limeanguka kama mengine yanavyoanguka na kutuletea shida."alisema Kikwete Jr.

Mbali na Igangula pia amemteua Allan Magoma kutoka Tanzania Investment Bank, Charles Palapala (mfanyakazi wa benki), Izack Chanje (Injinia) na wakili Mavalle Msemo.

Kikwete Jr.alisema kuwa mbali na wajumbe hao pia ameunda kamati ndogo ambayo itakuwa na jukumu la kufatilia masuala mbali mbali ya ujenzi wa jengo hilo ambayo itaongozwa na Katibu wa Yanga Laurance Mwalusako akisaidiwa na Beda Tindwa na Mohamed Milando.

Kikwete Jr. alisema kuwa wiki ijayo anatarajia kukutana na kamati yake na kupeana majukumu ikiwa ni pamoja na kupokea michoro mbali mbali ya majengo ambayo wataiangalia na kujua thamani alisi ya jengo ambalo watalijenga.

“Tumeshawapa notisi wapangaji wa jengo hilo ili watupishe tuanze ukarabati haraka iwezekanavyo. Tunataka tuwe na jengo la kisasa ambalo litakuwa na manufaa kwa klabu kwa kuhakikisha linakuza uchumi wa timu.

“Naahidi kujenga ghorofa kubwa lenye hadhi, ndio maana nimeteua wajumbe wenye uelewa mkubwa nitakaosaidiana nao,” alisema Ridhiwani Kikwete.

Venezuela Gives Chávez Protégé Narrow Victory

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Sunday, April 14, 2013 | 11:30 PM

Nicolás Maduro and his wife, Cilia Flores, greeted supporters in Caracas, Venezuela, after the results of historic presidential elections were announced

Nicolás Maduro and his wife, Cilia Flores, greeted supporters in Caracas, Venezuela, after the results of historic presidential elections were announced.

At a polling station in Caracas, ballots were emptied onto a table for counting.

CARACAS, Venezuela — In an unexpectedly close race, Venezuelans narrowly voted to continue Hugo Chávez’s revolution, electing his handpicked political heir, Nicolás Maduro, to serve the remainder of his six-year term as president, officials said late Sunday.


But the thin margin of victory could complicate the task of governing for Mr. Maduro, emboldening the political opposition and possibly undermining Mr. Maduro’s stature within Mr. Chávez’s movement.

His opponent, Henrique Capriles Radonski, refused to recognize the results, citing irregularities in the voting and calling for a recount.

Mr. Maduro, the acting president, narrowly defeated Mr. Capriles, a state governor who ran strongly against Mr. Chávez in October. Election authorities said that with more than 99 percent of the vote counted, Mr. Maduro had 50.6 percent to Mr. Capriles’s 49.1 percent. More than 78 percent of registered voters cast ballots.

“These are the irreversible results that the Venezuelan people have decided with this electoral process,” Tibisay Lucena, the head of the electoral council, said as she read the result on national television late Sunday.

Mr. Maduro gave a defiant speech that suggested little willingness to make concessions. “We have a just, legal, constitutional and popular electoral victory,” he said.

Mr. Capriles was equally defiant. “We are not going to recognize the result until every vote is counted, one by one,”  Mr. Capriles said. “The big loser today is you, you and what you represent,” he said, referring to Mr. Maduro.

Meanwhile, there were also signs that the strident, Chávez-style anti-American message that Mr. Maduro used during the campaign would now be set aside to improve Venezuela’s strained relations with the United States.

Venezuela is a major oil supplier to the United States with immense reserves, and under Mr. Chávez it has also been a major thorn in Washington’s side, wielding its oil and its diplomatic muscle to oppose American policy everywhere from Cuba to Syria. Mr. Chávez, who succumbed to cancer on March 5, built his political career on flaying the United States and its traditional allies in the Venezuelan establishment, and Mr. Maduro followed his mentor’s script throughout the campaign with an acolyte’s zeal.

He accused former American diplomats of plotting to kill him, suggested that the United States had caused Mr. Chávez’s illness, and had his foreign minister shut the door on informal talks with the United States that began late last year. A senior State Department official in Washington said the harsh rhetoric had made the possibility of improved relations more difficult.

But over the weekend, with his election victory looking likely, Mr. Maduro sent a private signal to Washington that he was ready to turn the page. Bill Richardson, the former governor of New Mexico, who was in Caracas as a representative of the Organization of American States, said in an interview that Mr. Maduro called him aside after a meeting of election observers on Saturday and asked him to carry a message.

“He said, ‘We want to improve the relationship with the U.S., regularize the relationship,’ ” Mr. Richardson said.

The foreign minister, Elías Jaua, met with Mr. Richardson on Sunday, and said Venezuela was ready to resume the talks that it had cut off, Mr. Richardson said.

Though Mr. Chávez’s death raised the possibility of a realignment in the hemisphere, Mr. Maduro’s victory would seem to extend the life of the leftist coalition of countries that coalesced around Mr. Chávez. Mr. Maduro seems certain to continue the lifeline of oil sales on preferential terms that Venezuela provides to Cuba, whose leaders were close allies of Mr. Chávez.

Yet even his supporters say that Mr. Maduro lacks his predecessor’s sharp political instincts and magnetism, and many questions remain about how effectively he will lead at home and abroad.

At the voting booth on Sunday, Mr. Chávez was as much on voters’ minds as the two candidates were. Mr. Maduro went all-out to associate himself with the dead leader and his idiosyncratic style of socialism, which remains broadly popular in Venezuela, especially among poorer voters. His image was everywhere in Mr. Maduro’s campaign, and the candidate even told voters that Mr. Chávez’s spirit had appeared to him in the form of a little bird. An awkward campaigner who struggled to connect with supporters, Mr. Maduro took to whistling like a bird at his rallies.

Voters seemed to respond on Sunday. “The commander’s legacy should continue, toward a better future,” said Alejandro Rodríguez, 34, after casting his ballot at a school in a neighborhood known as Gato Negro, or Black Cat. “I voted for the commander’s son, Nicolás Maduro,” Mr. Rodríguez said, echoing the candidate who called himself “the son of Chávez.” Driving the point home, a large banner on a pedestrian overpass near the school entrance said, “A vote for Maduro is a vote for Chávez.”

Just as he did when running against Mr. Chávez last October, Mr. Capriles managed to energize and inject hope into a fractious and battered opposition. He represented a coalition of groups from across the political spectrum. But it was not clear if the opposition’s unity and momentum could be maintained after the defeat, in the face of a government that holds a virtual monopoly on power.

In the election last October, Mr. Chávez received nearly 8.2 million votes, or 55 percent, compared to nearly 6.6 million, or 44 percent, for Mr. Capriles.

But Mr. Maduro could also face pressure from within Mr. Chávez’s movement, from competing leaders or groups in government and the armed forces who do not feel the need to obey him with the absolute loyalty they once gave to Mr. Chávez.

Just as Mr. Chávez did, Mr. Maduro sought to exploit the bitter divide between loyalists and opponents.

“The country is going to be more polarized, divided into two parts,” said Rafael Huizi Clavier, a retired vice admiral who supported Mr. Capriles. “There is more confrontation, because the campaign has been very hard and the differences have been exacerbated. There is more antagonism between the two sides.”

The new president will face a host of challenges as he serves out the rest of Mr. Chavez’s term, which began in January. The economy suffers from high inflation — just over 20 percent last year — and from chronic shortages of many basic foods, medicines and other goods. Many economists predict that economic growth will slow significantly this year and some say the nation could slip into recession.

The government-owned oil monopoly, Petróleos de Venezuela, is a crucial source of government revenue, but it has been struggling with stagnant production and problems at its refineries. The country’s electrical grid is plagued by blackouts, which are frequent in many areas of the country outside Caracas.

And violent crime is rampant. As recently as Thursday, four people were shot to death in three separate incidents at a sprawling election rally for Mr. Maduro in Caracas, according to local news media accounts.

María Eugenia Díaz and Paula Ramón contributed reporting.
 
 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Arusha Forum - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger