KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA - Arusha Forum
Headlines News :
Home » » KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA

KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Thursday, February 7, 2013 | 12:10 PM

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia (kushoto) January Makamba wakibadilishana mawazo na Ahmed Shabiby(Gairo) katika viwanja vya Bunge .

Salehe Pamba (kulia) amkisikiliza Mkurugenzi Mtendaji kutoka Kampuni ya sola ya Rex Energy Francis Kibhisa jinsi ya matumizi mbalimbali ya umeme wa Sola. Maonyesho hayo yanafanyika katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.

Mjumbe wa Timu ya watu sita Bernardetha Mushashu (Viti Maalumu (kushoto) akipokea vitabu vya mtaala wa Elimu ya Awali (2005), Mtaala wa Elimu ya Msingi (2005) na Mtaala wa Elimu ya Sekondari (2005) kutoka kwa Mfanyakazi wa Bunge Modesta Kipiko ,kwaajili ya kwenda kuchunguzwa vitabu vya mitaala vilivyowakilishwa mezani leo na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt Shukuru Kawambwa Bungeni ili kujiridhisha. (hayupo pichani).

Wanafunzi wa Shule ya Dar es Salaam  Independence kutoka Dar es Salaam wakitambulishwa  
 Bungeni leo.
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Arusha Forum - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger