MBUNGE AMOS MAKALLA AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE MVOMERO. - Arusha Forum
Headlines News :
Home » » MBUNGE AMOS MAKALLA AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE MVOMERO.

MBUNGE AMOS MAKALLA AFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE MVOMERO.

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Thursday, February 14, 2013 | 10:54 AM

 
 Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ( kushoto) akiwakabidhi bati
24 kwa viongozi wa CCM Tawi la Kwa Mayambi, kata ya Sungaji ili
kuezekea jengo la Ofisi.
 
 Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ( kushoto) akikabidhi viti
45 kwa uongizo wa CCM Kata ya Sungaji ili vitumike wakati wa mikutano ya
Chama.
 
 Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ( kulia) akimkabidhi kitabu
cha somo la sayansi ikiwa ni sehemu ya vitabu 121 kwa Mkuu wa Sekondari
Adrian Mkoba ,Harold Mhando.
 

Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla akiwa katika picha za aina mbalimbali
wakati wa ziara yake aliyoifanya kuanzia Februari 11 hadi 13, mwaka huu
katika vijiji kadhaa vya Kata ya Sungaji, Hembeti na Mzumbe  iliyokuwa
na lengo la kutoa misaada ya aina mbalimbali ikiwa ni utekelezaji wa
ahadi zake pamoja na kusikiliza kero na kuhamasisha shughuli za
maendeleo. ( Picha zote na John  Nditi).
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Arusha Forum - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger