WAZIRI WA HABARI,VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO ATEMBELEWA NA MKURUGENZI WA BRITISH COUNCIL OFISINI KWAKE - Arusha Forum
Headlines News :
Home » » WAZIRI WA HABARI,VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO ATEMBELEWA NA MKURUGENZI WA BRITISH COUNCIL OFISINI KWAKE

WAZIRI WA HABARI,VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO ATEMBELEWA NA MKURUGENZI WA BRITISH COUNCIL OFISINI KWAKE

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Saturday, February 16, 2013 | 6:32 AM



 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara (Mb) akisalimiana na Mkurugenzi wa British Council nchini Sally Robinson (kulia) leo Ofisini kwa Waziri,alipokwenda kumtembelea na kufanya mazungumzo mbalimbali kuhusu tasnia ya ubunifu wa Sanaa na Utamaduni pamoja na jinsi ya kuwajengea uwezo katika fani mbalimbali za sanaa na ujasiria mali.
 
Waziri wa Habari ,Vijana,Utamaduni na Michezo,Dkt. Fenella Mukangara (Mb) akizungumza na Mkurugenzi wa British Council nchini (kulia) Sally Robinson leo alipomtembelea Ofisini kwake jijini 
Dar es Salaam na kuzungumzia masuala mbalimbali ya tasnia ya Utamaduni.
 
 Waziri wa Habari, Vijana , Utamaduni na Michezo (kushoto) Dkt. Fenella Mukangara akiangalia kipeperushi baada ya kupokea kutoka kwa Mkurugenzi wa British Council nchini,Sally Robinson alipomtembelea leo jijini Dar es Salaam. 
Picha zote na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Arusha Forum - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger