MBUNGE WA UINGEREZA AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI DK. EMMANUEL NCHIMBI - Arusha Forum
Headlines News :
Home » » MBUNGE WA UINGEREZA AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI DK. EMMANUEL NCHIMBI

MBUNGE WA UINGEREZA AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI DK. EMMANUEL NCHIMBI

Written By Sema Naye - Naipenda Tanzania on Tuesday, February 19, 2013 | 11:25 AM



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Dk Emmanuel Nchimbi akizungumza na Mbunge wa Uingereza, Lord Dholakia (katikati), ambaye amekuja nchini kwa ziara ya kikazi. Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Magereza, Kamishna Jenerali John Minja. Waziri alibadilishana mawazo na mbunge huyo katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
 
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Dk Emmanuel Nchimbi (wa tatu kutoka kulia) akizungumza na Mbunge wa Uingereza, Lord Dholakia (wa pili kutoka kulia), na maofisa mbalimbali wa ubalozi wa Uingereza nchini. Kulia ni Mkuu wa Jeshi la Magereza, Kamishna Jenerali John Minja, wengine ni maofisa wa wizara hiyo.
 
Mbunge wa Uingereza, Lord Dholakia (wapili kutoka kulia) akizungumza katika kikao hicho.

--



PICHA ZOTE NA-FELIX MWAGARA

KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI 

WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

 
Support : Creating Website | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. Arusha Forum - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger